Matthew 13:33

33 aAkawaambia mfano mwingine, “Ufalme wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”

Sababu Ya Isa Kutumia Mifano

(Marko 4:33-34)

Copyright information for SwhKC